Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Maji

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Moshi(muwsa)

MUWSA Logo
Ziara ya Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mkoani Kilimanjaro
Bi. Rose Ambros, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maji amefanya Ziara Mkoani Kilimanjaro na kutembelea Mradi wa Mwanga - Same - Korogwe pamoja na kuzungumza na Menejimenti za Sekta ya maji Mkoani Kilimanjaro.