Recent News and Updates

Salamu za Pongezi kwa Katibu Mkuu Wizara ya Maji

Hongera Mhandisi Nadhifa Kemikimba kwa kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuongoza Wizara ya Maji. Tunaahidi kutoa ushirikiano katika kuendelea kutoa huduma bora kwa wananchi. Read More

Salamu za Pongezi kwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maji

Hongera Mhandisi Cyprian Luhemeja kwa kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuongoza Wizara ya Maji. Tunaahidi kutoa ushirikiano katika kuendelea kutoa huduma bora kwa wananchi. Read More

Muwsa yamaliza kero ya maji, Mbunge akisema ndoa zitapona Moshi

Mradi huo ambao umegharimu Sh2.378 bilioni hadi kukamilika, umetekelezwa na  Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Moshi (Muwsa) kwa fedha kutoka serikalini na utekelezaji wake umekamilika kwa asilimia 100 na zaidi ya… Read More