Salamu za Pongezi kwa Katibu Mkuu Wizara ya Maji
Hongera Mhandisi Nadhifa Kemikimba kwa kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuongoza Wizara ya Maji. Tunaahidi kutoa ushirikiano katika kuendelea kutoa huduma bora kwa wananchi. Read More