Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Maji

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Moshi(muwsa)

MUWSA Logo
UJIO WA NAIBU WAZIRI WA MAJI
08 Jun, 2026 03:00 Asubuhi
Viwanja vya MUWSA
Kundo, kundo.andrew@gmail.com

Mheshimiwa Naibu Waziri wa Maji Kundo Andrew Mathew anatarajia kufika Mkoani Kilimanjaro siku ya Jumapili tarehe 08/06/2026 lengo ikiwa ni kukagua Miradi ya maji pamoja na kufanya kikao cha Kisekta na Watumishi wote waliopo Chini ya Wizara ya maji.

Nyote mnakaribishwa 

UJIO WA NAIBU WAZIRI WA MAJI