Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Maji

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Moshi(muwsa)

MUWSA Logo
MUWSA YATWAA TUZO YA MAMLAKA BORA YA UTOAJI WA HUDUMA YA MAJISAFI NA USAFI WA MAZINGIRA KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25
19 Mar, 2026
MUWSA YATWAA TUZO YA MAMLAKA BORA YA  UTOAJI WA  HUDUMA YA MAJISAFI NA USAFI WA MAZINGIRA KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25

Kwa Mara nyingine tena, Mamlaka ya Majisafi na Usafi   wa Mazingira Moshi ( MUWSA)  imeendelea kutwaa  tuzo mbalimbali za EWURA ambapo kwa mwaka wa fedha 2024/25  imeibuka mshindi wa kwanza katika utoaji wa huduma za majisafi na usafi wa mazingira  kwenye kundi la mamlaka  zinazohudumia zaidi ya wateja 20,000.

Tuzo hizi zitaendelea kuwa chachu ya kuwajibika vyema kwa wateja wetu  ili   kuhakikisha malengo ya Serikali na matarajio ya wananchi yanafikiwa kwa viwango vya juu.
 
MUWSA: Uwajibikaji na Huduma Bora Endelevu