Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Maji

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Moshi(muwsa)

MUWSA Logo
MUWSA YAKAMILISHA UTEKELEZAJI WA MAELEKEZO YA MHE: DKT: MWIGULU LAMECK NCHEMBA KWENYE KATA YA MABOGINI
10 Mar, 2026
MUWSA YAKAMILISHA UTEKELEZAJI WA MAELEKEZO YA MHE: DKT: MWIGULU LAMECK NCHEMBA  KWENYE KATA YA MABOGINI

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Moshi imekamilisha utekelezaji wa maelekezo ya Mhe. Waziri  Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba ya kuhakikisha wananachi wanapata huduma ya majisafi na salama katika kitongoji cha Uru kilichopo kijiji cha Chekereni kwenye Kata ya Mabogini.

 Dkt. Mwigulu alitoa maelekezo hayo akiwa kwenye ziara ya kikazi Mkoani Kilimanjaro.

Aidha, wananchi wa kitongoji hicho wameishukuru Serikali ya awamu ya sita kwa namna inavyotekeleza kazi zake kwa vitendo.