Mhandisi Kija Limbe amewahakikishia mradi wa majisafi wa Miwaleni - Njiapanda unaenda kufuta tatizo la majisafi kwa wakazi wa njiapanda, aidha amewaomba viongozi kuwa na subiria wakati wa kipindi Cha mpito na ameahidi pindi mabomba yatakapokuwa yamefika kipaumbele Cha ajira kitakuwa kwa wananchi wa njiapanda hivyo wajitokeze kwa wingi.